资讯

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema michuano ya CHAN inayotarajiwa kufanyika kuanzia Agosti, mwaka huu ni zaidi ya michezo kwasababu yanafungua fursa za kibiashara na uchumi.
Wanachama 15 wa chama cha upinzani cha National Unity Platform nchini Uganda, wameshtakiwa kwa kuharibu mabango ya kampeni ya Rais Yoweri Museveni, jambo lililochukuliwa kama ni kinyume na sheria.
CAIRO, Aug. 12 (Xinhua) -- Egyptian President Abdel-Fattah al-Sisi on Tuesday reiterated Egypt's "complete rejection" of unilateral measures in the Eastern Nile Basin, warning that the country would ...