News
Wananchi wa vijiji vya pembezoni mwa barabara ya Ilembo—Mwala—Sapanda, kikiwepo Kijiji cha Ilembo, Wilaya ya Mbeya, wameutaka ...
Sanga ametoa kauli hiyo leo Alhamisi, Juni 26, 2025 katika mahojiano maalumu wakati Tamwa ikitarajia kufanya mkutano wake ...
Ni rasmi Serikali imejitosa kwenye huduma za teksi mtandao, hivi ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kufuatia Shirika la Posta ...
Serikali imetaja maeneo saba ya ubora yatashindaniwa katika Tuzo za Utalii Duniani Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi kwa ...
Changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji wilayani Mpwapwa inakwenda kuwa historia, baada ya halmashauri hiyo kuzindua ...
Umoja wa wenza wa viongozi wa kitaifa, Ladies of New Millennium Women Group, umewataka wanawake wajasiriamali kutumia daraja ...
Kati ya wanaopigana vikumbo, wamo wabunge, wawakilishi na madiwani wanaomaliza muda wao na wanahitaji kurudi tena kwenye ...
Utolewaji wa elimu, ugunduzi wa mapema, matibabu na utolewaji wa dawa kwa wakati ni miongoni mwa njia za kupambana na ugonjwa ...
Maandamano hayo yalikuwa yakiwakumbuka waandamanaji 60 waliouawa Juni 25, 2024, wakati wa maandamano ya kupinga muswada wa ...
Kwa kuanza kutakuwa na treni moja kila siku itayokuwa inaondoka Pugu saa 10 alfajiri na kusimama Morogoro saa 12:00 asubuhi ...
Leo nimemsikiliza Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akitoa hotuba ya kuaga Bunge la 12 na kuelezea mafanikio lukuki ikiwamo ...
Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kukimbizwa katika Mkoa wa Kilimanjaro kuanzia Juni 28 hadi Julai 4, 2025, ambapo utapitia miradi ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results